Quantcast
Channel: MC DR CHENI
Browsing all 2428 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Picha za Mwigizaji Rich Richie Alivyotua Airport Baada ya Kushinda Tuzo ya...

Usiku wa March 5 tasnia ya Bongo Movie iliingia kwenye headlines Lagos Nigeria, baada ya wasanii wawili kushinda tuzo za Africa Magic Viewer’s Choice Awards2016 zilizotolewa Lagos Nigeria, Single...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Video: Rais Magufuli Akimtangaza Katibu Mkuu Kiongozi Mpya Baada ya...

Video ya Rais Magufuli  akimtangaza John Kijazi Kuwa Katibu mkuu Kiongozi kuchukua nafasi ya Ombeni Sefue ambaye atapangiwa kazi nyingine

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Siku 67 za Ombeni Sefue Ikulu Kabla ya Kutumbuliwa JIPU Jana

JANA ilikuwa siku ambayo Rais John Magufuli alitoa uamuzi mzito wa kubadilisha nafasi za uongozi wa ngazi ya juu zaidi kwa viongozi ambao amefanya nao kazi baada ya kumuondoa Balozi Ombeni Sefue...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WANAWAKE WOTE NCHINI WAMETAKIWA KUJIAMINI NA KUWA NA UTHUBUTU KWA KUFANYA...

 Picha ya Maktaba yetu  Kuelekea siku ya wananawake duniani ambayo kila mwaka inafanyika Marchi 8, Wanawake wote nchini wametakiwa  kujiamini na kuwa na uthubutu kwa kufanya shughuli za kujitafutia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Moto Wateketeza Mabweni Mawili katika Shule ya Sekondari ya Iyunga jijini...

Mabweni mengine  mawili  ya  shule  ya  Sekondari  Iyunga  iliyoko  jijini  Mbeya  yameteketea  kwa  moto  mchana  huu.BONYEZA HAPA KUSOMA ZAIDI

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli Amuapisha Balozi Eng. John William Kijazi Kuwa Katibu Mkuu...

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Balozi Eng. John William Herbert Kijazi kuwa Katibu Mkuu Kiongozi Ikulu jijini Dar es Salaam. Balozi Kijazi anachukua nafasi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HIKI NDICHO ALICHOKIANDIKA LULU KUHUSU UJIO WAKE TANZANIA KESHO

Tunajua ni Watanzania wawili walishinda tuzo mbili kwenye usiku wa tuzo za Africa Magic Viewer’s Choice Awards, wa kwanza ni Single Mtambalike ‘Richie’ na Elizabeth Michael ‘Lulu’ ambapo Richie tayari...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Chid Benz alimfanyia unyama Ali Kiba wakati wakirekodi wimbo ‘Hasira za Nini’

Rapper Chid Benz amesema wakati wanarekodi wimbo ‘Hasira za Nini’ aliyomshirikisha Ali Kiba, alimfungia ndani msanii huyo katika chumba cha kuingizia sauti ambacho kilikuwa na joto kali.Ali Kiba na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Watumishi 597 Wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa ( NIDA ) Wasimamishwa Kazi

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti ya Leo Jumanne ya March 8 2016

BONYEZA HAPA KUSOMA ZAIDI

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RATIBA YA MAPOKEZI YA LULU AKITOKEA NAIGERIA HII HAPA

drchenitzWapendwa mungu akipenda tukutane LEADERS kuanzia saa 4 mchana hivi maana saa 6 mchana maelekezo Airport anatua kwa upendo zaid karibu sana @elizabethmichaelofficial watanzania wanakusubilia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwanafunzi Aliyeongoza Kitaifa Matokeo Kidato cha Nne Aahidiwa Ajira Na Benki...

Benki  ya  CRDB  imemfungulia  Akaunti  ya  Scholarship  na  kumwekea  sh. Milioni 5  mwanafunzi  aliyefanya  vizuri  katika  mtihani  wa  kumaliza  kidato  cha nne  mwaka  2015,  Butogwa Shija  na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali Yatoa Bei Elekezi ya Sukari..... Kilo moja Kuanzia sasa ni Sh. 1800...

HATIMAYE  Serikali ya Awamu ya Tano chini ya Rais John Magufuli  imekisikia kilio cha muda mrefu  cha Wananchi ambao  walikuwa wakilalamika kupanda  kwa  bei ya sukari nchini.Akizungumza na Waandishi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri wa Ardhi, William Lukuvi Akataa Rushwa ya Bilioni 5

Waziri wa  Ardhi, William Lukuvi amesema rushwa imekithiri kwenye sekta ya ardhi kiasi kwamba wafanyabiashara wawili walimuahidi rushwa ya Sh5 bilioni afanikishe mpango wao wa kuiuzia Serikali ardhi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI RUKWA AMPA MIMBA MWALIMU WAKE

WAKATI ikiwa imezoeleka kuwa baadhi ya walimu wa kiume huwarubuni wanafunzi wao wa kike na hata kuwaharibia kabisa ndoto zao za kielimu kutokana na kuwapa ujauzito, hali imekuwa tofauti mkoani Rukwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Balozi Ombeni Sefue Amshukuru Rais Magufuli Kwa Heshima Aliyompa......Aahidi...

Baada ya kudumu Ikulu kwa takribani siku 127 zikiwamo 67 tangu aongezewe muda wa mwaka moja akiwa na Serikali ya Awamu ya Tano, Balozi Ombeni Sefue ameshukuru heshima aliyopewa na Rais John Magufuli...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Donald Trump Afananishwa na Madikteta Wakubwa Waliowahi Kutingisha Dunia

Rais wa Mexico Enrique Pena Nieto amesema lugha anayotumia mgombea urais wa chama cha Republican Donald Trump ndiyo iliyotumiwa na madikteta Adolf Hitler na Benito Mussolini.Amesema hayo kwenye...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HIVI NDIVYO LULU ALIVYOPOKELEWA AIRPORT DAR BAADA YA KUSHINDA TUZO NIGERIA

Jumamosi ya March 5 2016 Waigizaji wawili wa Tanzania walishinda tuzo kwenye tukio la Africa Magic Viewer’s choice Awards 2016 huko Lagos Nigeria ambao ni Single Mtambalike ‘Richie’ na Elizabeth...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti ya Leo Tanzania Jumatano ya March 9,2016

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri wa Afya Ummy Mwalimu Ataka Makahaba wanaojiuza Pamoja na Wanaume...

WIZARA ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imetangaza kuiunga mkono Polisi nchini katika operesheni ya kukamata wateja wa makahaba kuhakikisha biashara hiyo inakoma nchini.Waziri wa...

View Article
Browsing all 2428 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>