Quantcast
Channel: MC DR CHENI
Browsing all 2428 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UVCCM Yataka Majipu Ndani ya Chama Yaanze Kujitumbua ......Ni wale...

Kaimu Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Taifa, Shaka Hamduni Shaka amewataka wanachama wanaojitambua kuwa ni majipu kwa kukisaliti chama kwenye Uchaguzi Mkuu mwaka jana, waanze kujitumbua...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kilimanjaro: Watumishi HEWA Wakopa Mamilioni ya Pesa Benki

Msako ulioanzishwa na Rais John Magufuli wa kutokomeza tatizo la wafanyakazi hewa katika utumishi wa umma, umeendelea kuibua mazito, ambapo mkoani Kilimanjaro, Benki ya CRDB imejikuta ikitoa mkopo kwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti ya Tanzania Leo Jumapili ya April 24,2016

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BREAKING NEWZZ:MWANAMUZIKI MKONGWE PAPAA WEMBA AFARIKI DUNIA

 Papa Wemba akiwa jukwaani kwa mara ya mwisho jijini Abidjan, Ivory Coast, usiku wa kuamkia leoMwanamuziki nguli wa Congo Jules Shungu Wembadio Pene Kikumba maarufu kama Papa Wemba amefariki dunia huko...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Binti wa Miaka 16 Kutoka Mwanza Ahutubia Umoja wa Mataifa

 ;Mtoto Mtanzania mwenye umri wa miaka 16 Getrude Clement kutokea Mwanza amehutubia mbele ya viongozi mbalimbali wa dunia kwenye mkutano wa umoja wa mataifa akiwa mwenye kujiamini na kutoonekana kuwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Paul Okoye wa kundi la P-Square Anaswa South Africa Akiwa Amevaa Kofia ya WCB...

Ukimuona Paul Okoye wa kundi la P-Square akiwa amevaa kofia ya WCB na yupo Johannesburg, Afrika Kusini ambako Diamond yupo huko tangu mwanzoni mwa wiki hii kuzindua video ya Colors of Africa, ujue...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti ya Tanzania Leo Jumatatu ya April 25,2016

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rose Ndauka Asema Aliumia Kuachana na Mpenzi Wake ‘Malick’ Siku Chache Kabla...

Msanii wa filamu Rose Ndauka amesema hakuna kitu kilimuumiza katika maisha yake kama kuachana na mpenzi wake Malick Bandawe aka Chiwaman, siku chache kabla ya ndoa yao kufanyika.Rose Ndauka Akiwa na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Fahamu Maana ya Ngoma NdiNdiNdi ya Lady JayDee

Akiitambulisha video ya wimbo huo kwa mara ya kwanza ndani ya FNL ya EATV Lady JayDee amesema kwamba maana ya wimbo huo niBONYEZA HAPA KUSOMA ZAIDI

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Bishanga: Waigizaji Wengi wa Sasa Wanaiga ‘Umagharibi’

Mwigizaji Mkongwe ambaye alikuwa kwenye kundi la Mambo Hayo lililokuwa maarufu miaka ya 90, Bishanga Bashaija amesema kuwa waigizaji wengi wa sasa hivi wanaiga sana Umagharibi,ndio maana tamthilia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TOA ODA YAKO SASA KWA HUDUMA YA MC DR CHENI NI MSHEREHESHAJI BORA ZAIDI TANZANIA

 Mc Dr Cheni on the stageFor Booking Please Call Mc Dr Cheni         TIGO : +255 713 620 865VODACOM: +255 754 222 201Manager: Lewis MbondeTigo: +255 658 194 194 Lewis Mbonde

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CALL +255 658 194 194 FOR LM I T & BUSINESS CONSULTANCY ONLINE/OFFLINE SOLUTION

PROJECT PROPOSAL ............................................................300,000/=RESEARCH PROPOSAL WRITTING.......................................250,000/=RESEARCH PAPER...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS DKT. MAGUFULI AKUTANA NA BALOZI WA CHINA LEO

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimsikiliza Balozi wa China hapa nchini Dkt. Lu Youqing Ikulu jijini Dar es Salaam. Balozi Dkt. Lu alifika Ikulu jijini Dar es Salaam...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Raymond Asimulia Jinsi Alivyomshawishi Diamond Hadi Kumchukua WCB

Raymond amesimulia jinsi ambavyo alimshawishi Diamond hadi kuamua kumchukua kwenye label yake, WCB.BONYEZA HAPA KUSOMA ZAIDI

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Elimu (Duce) Auawa Kwa Kuchomwa Kisu na Mpenzi Wake

Mwanafunzi wa mwaka wa pili katika Chuo Kikuu cha Elimu (Duce), jijini Dar es Salaam, Bertha Mwarabu (23), ameuawa na mwanafunzi mwenzake kwa kuchomwa kisu kwenye titi na tumboni kwa kinachodaiwa ni...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli Ateua Makatibu Tawala wa Mikoa 26

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 25 Aprili, 2016 amefanya uteuzi wa Makatibu Tawala wa Mikoa 26 ya Tanzania Bara.Taarifa iliyotolewa leo na Katibu Mkuu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KILICHOJILI LEO BUNGENI DODOMA

 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiteta na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sere,Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu, Jenista Mhagama (katikati na Mwanansheria Mkuu wa Serikali, George...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HIVI NDIVYO RAIS MAGUFULI ANAVYO PENDWA NNCHINI KENYA...MASHABIKI WA VILABU...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NAPE ATAJA MAJIPU MANNE KATIKA SANAA NCHINI,AAHIDI KUYATUMBUA

Waziri wa Habari,Utamaduni,sanaa na michezo nchini,Nape Nnauye ametaja mambo manne ambayo ni vikwazo ndani ya sekta ya sanaa ya filamu nchini na kuyaita kwamba ni majipu huku akisisistiza kwamba...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti ya Leo Jumanne ya April 26,2016

View Article
Browsing all 2428 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>