Quantcast
Channel: MC DR CHENI
Browsing all 2428 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Soggy : Wasanii Bongofleva Hawana Topic za Kuimba

Soggy dogUnakumbuka ile hit song kibanda cha simu???? Umeshawahi kujiuliza homeboy Soggy Dogg yuko wapi now? Jamaa amerudi kwa hasira na kudiss kuwa hakuna muziki sasa, especially Singeliiiiiii……Soggy...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mtitu Afunguka Maprodyuza Kuwamaliza Warembo

PRODYUZA na muigizaji wa sinema Bongo, William Mtitu amefunguka kuwa maprodyuza wengi wamekuwa wakipewa lawama za kutembea na waigizaji wa kike kutokana na wao wenyewe kujirahisisha.William...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Christian Bella atuzwa zaidi ya sh 15 milioni katika show ya ‘The Black Tie’...

Mkali wa masauti Christian Bella ameendelea kuonyesha ukongwe wake katika show ya ‘The Black Tie’ iliyofanyika Jumamosi hii katika ukumbi wa King Solomon jiji Dar es salaam.Bella akijazwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Video: Masanja Mkandamizaji amvalisha pete mchumba wake huyu

Mchekeshaji wa kundi la Orijino Komedi Masanja Mkandamizaji Jumapili hii amemvalisha pete mpenzi wake aitwae Monica akijiandaa safari ya kufunga pingu ya maisha.Masanja akiwa na mchumba wake aitwae...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MC DR CHENI ALIHUSIKA VILIVYO KATIKA SHEREHE HII YA SEND OFF

 

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ujanja wangu wote siwezi kuvaa kipini puani – Barnaba

Baada ya kuendelea kushamiri kwa mtindo wa wasanii kutoboa pua na kuvaa vipini, msanii na mtayarishaji wa muziki wa ‘High Table Sound’ Barnaba Classic amedai yeye hawezi kufanya kitu ka hicho katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Haya ndio mafanikio ya msanii kwa mujibu wa Professor Jay

Mbunge wa Mikumi na msanii mkongwe wa muziki wa Hip Hop Bongo, Joseph Haule maarufu kama Professor Jay amesema mafanikio kwa msanii siyo kumiliki mali nyingi bali ni jamii kuweza kunufaika kutokana na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Picha: Mapokezi ya timu ya taifa ya Ureno baada ya kushinda Kombe Euro 2016

Timu ya taifa ya Ureno imewasili Lisbon Ureno wakiwa na Kombe lao la Euro 2016 na wamepata mapokezi makubwa kutoka kwa raia wa nchi hiyo, baada ya kuwasil Ronaldo pamoja na wachezaji wenzake wa Ureno...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAKURUGENZI WATENDAJI WA HALMASHAURI, MIJI, MANISPAA NA MAJIJI 185 WALA VIAPO...

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli akiongea na Wakurugenzi Watendaji wa Halmashauri, Miji, Manidpaa na Majiji 185 kabla ya hawajakula kiapo cha maadili ya viongozi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MH GODWIN GONDWE DC AKIWAJIBIKA KATIKA JAMII

Mkuu wa Wilaya ya Handeni Godwin Gondwe akiwajibika katika kusaidia jamii...Email ThisBlogThis!Share to TwitterShare to Facebook

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Sikumdhalilisha Lady Jaydee Kwenye Video iliyosambaa Mitandaoni – Gadner

Mtangazaji mahiri wa kipindi cha Jahazi cha Clouds FM, Gadner G Habash amekanusha kumdhalilisha aliyekuwa mke wake Lady Jaydee kupitia video ambayo ilisambaa katika mitandao ya kijamii miezi michache...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mtv Base Walivyoisifia video Mpya ya Diamond ‘Kidogo’ na Kumuita Mfalme wa…..

Kituo cha tv cha kimataifa MTV Base kimeipa sifa kubwa video mpya ya Diamond Platnumz aliyowashirikisha P Sqaure kutoka Nigeria. Video hii ni KIDOGO.Ukiacha kuipa sifa kuwa ndio video bora kwa sasa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

OMBAOMBA 60 WAPANDISHWA KIZIMBANI KUSOMEWA MASHTAKA JIJINI DAR

Jumla ya ombaomba sitini (60) wamekamatwa katika msako wa ombaomba unaoendelea katika jiji la Dar es Salaam.Hayo yamesemwa leo na Mganga Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Dkt. Grace Magembe alipokuwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Uwoya: Nikilala, Nikiamka Nawaza Siasa Tu

STAA mkali Bongo Muvi, Irene Uwoya amefunguka kuwa bado hajakata tamaa ya kuwa mwanasiasa japokuwa mwaka jana alishindwa lakini hiyo imempa nguvu ya kujipanga zaidi na kwamba kwa sasa akili yake yote...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mtokeo ya kidato cha sita (ACSEE 2016), Bofya hapa

Bofya hapa kupata matokeo (ACSEE)Bofya hapa kupata matokeo (DSEE)Bofya hapa kupata matoke (GATCE)

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HONGERA SANA PACHA WA KANUMBA HARUSI YENU ILIFANA SANAAA>ANAFANANA SANA NA...

   

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BOOK NOW MC DR CHENI CALL +255 754 222 201 OR +255 658 194 194

Mc Dr Cheni on the stageFor Booking Please Call Mc Dr Cheni         TIGO : +255 713 620 865VODACOM: +255 754 222 201Manager: Lewis MbondeTigo: +255 658 194 194a Lewis MbondeTOA ODA YAKO SASA KWA HUDUMA...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Muhimbili wafanikiwa kuweka betri kwenye moyo wa mtoto

Na John Stephen, MNHDar es Salaam, Tanzania.Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI)-Muhimbili LEO imefanya upasuaji mkubwa wa moyo kwa mtoto, Happiness John Josephat ambaye amepandikizwa peacemaker...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CALL +255 658 194 194 FOR BLOG DESIGNING,GOOGLE ADSENSE,BLOG MODIFICATION,...

                                   CALL +255 658 194 194                 BLOG DESIGNING (BLOG YA KISASA)             BLOG MODIFICATION (KUIBORESHA BLOG)                 ADSENSE (BLOGGER UJIPATIE...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Shule 25 Kunufaika na Filamu za ZIFF

MKURUGENZI wa Tamasha la Ziff, Profesa Martin Mhando, amesema kwamba baadhi ya filamu katika tamasha la mwaka huu zitatumika kwa ajili ya kufundishia.Profesa Martin Mhando“Tumeanza kujihusisha na...

View Article
Browsing all 2428 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>