Quantcast
Channel: MC DR CHENI
Browsing all 2428 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

USIKU WA GRACE ULINOGA SANAA CHINI YA MC DR CHENI

 Mc dr cheni na bi harusi mtarajiwa Gracehongera sana Grace Kwetu ni burudani tu  Mc Dr Cheni akifanya yakeWageni waalikwa walinogaa   Wageni waalikwa walinogaa

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Aliyeoongoza kidato cha 6 ni tunda la Shule ya Kata, aeleza alivyodharauliwa

Mwanafunzi aliyeongoza katika matokeo ya kidato cha sita yaliyotangazwa jana na Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA), Hassan Gwaay ameonesha moja kati ya tunda bora lililodhihirisha faida ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Basata Wafungia Wimbo Wa ‘Pale Kati Patamu’ Wa Ney Wa Mitego.

Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) limeufungia rasmi wimbo wa ‘pale kati patamu’ ulioimbwa na Msanii Ney wa Mitengo kutokana na ukiukwaji mkubwa wa maadili. Msanii huyu amekuwa na tabia na mienendo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI NAPE:TUTAPAMBANA NA WALE WOTE WANAOJIHUSISHA NA WIZI WA KAZI ZA WASANII

Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye akisalimiana na Mkurugenzi wa Steps Entertainment Bw. Delish Solanki wakati akiwasili katika ukumbi wa Suncrest Cine Plex uliopo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

YANGA NA MEDEAMA SC ZATOKA SARE 1-1 TAIFA JIONI HII

July 16 2016 ilikuwa ni zamu ya wawakilishi pekee wa Tanzania katika mashindano ya kimataifa klabu ya Dar es Salaam Young Africans kucheza mchezo wao wa tatu wa Kundi A wa Kombe la shirikisho barani...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Jpili njema wote na mungu pekee atubariki kwa kila jambo letu tulifanyalo ameen

Pozi la sherehe duh

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MC Pilipili Apata Ajali Mbaya ya Gari....

MC Pilipili ametupia Picha katika Ukurasa wake wa Facebook akiwa ameandika "Nimepata Ajali mbaya ya Gari namshukuru Mungu nimetoka salama"Baada ya Mungwana Blog kuwasiliana nae akasema kuwa Alipata...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Nape: Ukinunua CD isiyo na stika, wewe ni mwizi kama wezi wengine na...

Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo, Nape Nnauye baada ya kufanya ziara Ijumaa hii katika maeneo ya Kariakoo kukagua na kukamata CD ambazo hazina stika ya TRA, amewataka watanzania kuacha tabia...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Gabo,Fid Q washinda tuzo za ZIFF 2016

Rapper Fareed Kubanda aka Fid Q, ameshinda tuzo ya video bora ya muziki kwenye tuzo za ZIFF 2016 zilizotolewa Jumamosi hii visiwani Zanzibar.Fid ameshinda tuzo hiyo kupitia video ya wimbo wake Walk It...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HONGERENI SANA MR AND MRS ERIC BISHUBO USIKU WENU ULIMEREMETA SANA

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PICHA NYINGINE ZA HARUSI YA MR AND MRS ERIC

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli afanya uteuzi mwingine Mamlaka ya Usafiri wa Anga (TCAA)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amemteua Prof. Longinus Kyaruzi Rutasitara kuwa Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya Mamlaka ya Usafiri wa Anga (TCAA). Prof. Longinus Kyaruzi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Pichaz za Usiku wa utoaji wa tuzo za ZIFF kilivyohappen Zanzibar..

Gabo mshindi wa Muigizaji bora kiume akipokea tuzo yake.Usiku wa July 16 ulikua maalum kwa ajili ya utoaji wa tuzo mbalimbali kwenye upande wa filamu na tuzo hizi zilihusu vipengele mbalimbali vikiwemo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

IKULU IMEKANUSHA TAARIFA ZINAZOENEA MITANDAONI KUWA RAIS MAGUFULI AMEMTEUA...

Baada ya taarifa kuenea kwenye mitandao ya kijamii kuwa Rais John Pombe Magufuli amemteua Jerry Murro ambaye alikuwa afisa habari wa Yanga kuwa msaidizi wa mawasiliano ya Rais Ikulu, kurugenzi ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Askofu Gwajima Aibuka, Azungumzia Sakata lake Kanisani, Msaidizi wake...

KIONGOZI wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Askofu Josephat Gwajima, amefunguka kwa kuelezea safari yake aliyoifanya nje ya nchi hivi karibuni, baada ya taarifa mbalimbali kudai kuwa alilikimbia Jeshi la...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Mkuu Apiga Marufuku wanafunzi kutumia viberit na mishumaa mabwenini

WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amepiga marufuku matumizi ya viberiti, mishumaa na hita za kuchemshia maji kwa wanafunzi wa bweni ili kuepusha majanga ya moto na atakayekutwa, atachukuliwa hatua...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Picha: Professor Jay achanganya Hip Hop na Kisingeli, amshirikisha Sholo Mwamba

Msanii wa muziki wa Hip Hop na mbunge wa Mikumi, Professor Jay ameingia location wiki hii kushoot video ya wimbo wake mpya aliyomshirikisha msanii wa muziki wa kisingeli, ‘Sholo Mwamba’.Professor...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BOOK NOW MC DR CHENI CALL +255 754 222 201 OR +255 658 194 194

Mc Dr Cheni on the stageFor Booking Please Call Mc Dr Cheni         TIGO : +255 713 620 865VODACOM: +255 754 222 201Manager: Lewis MbondeTigo: +255 658 194 194a Lewis MbondeTOA ODA YAKO SASA KWA HUDUMA...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Picha:Rais Magufuli Akiwaapisha Viongozi wa Serikali na Maafisa wa Jeshi la...

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Naibu Makamishna wa Polisi (DCP) na Makamishna Wasaidizi Waandamizi wa Polisi (SACP) na Viongozi mbalimbali wa Serikali...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DJ JOH wa 93.1 Marekani acheza Ngoma za Diamond!

Haya sasa naona taratibu ule ubishi wa kuwa nyimbo za Afrika hasa Tanzania hazichezwi kwenye vituo vya Radio za Marekani unaelekea kuisha!Dj Joh wa 93.1 Marekani akihojiwa na Millard Ayo amezungumzia...

View Article
Browsing all 2428 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>