Quantcast
Channel: MC DR CHENI
Browsing all 2428 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Picha ya Mtanzania anayeteswa na Mchina yampeleka Mwigulu Geita Amkamata...

Waziri wa mambo ya ndani ya nchi, Mwigulu Nchemba amewasili mkoa wa Geita kwa ziara ya kikazi, kubwa ikiwa ni kufuatia taarifa za mateso na mauaji yaliyodaiwa kufanywa na raia wa China wanaomiliki...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Video ya Kanumba yenye maneno ya kuumiza yasambaa ‘wasipoona mchango wangu...

Wiki hii katika mitandao ya kijamii imesambaa video ya marehemu Steven Kanumba akilalamika jinsi watu walivyokuwa wakipinga jitihada zake za kuipeleka tasnia ya filamu kimataifa.Video hiyo ambayo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti ya Leo Ijumaa ya July 29,2016

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MADUKA KIBAO YA FILAMU KARIAKOO YAFUNGWA, TRA YATAKA MIKATABA YA USAMBAZAJI

Maduka mengi yanayouza filamu katika eneo la Kariakoo jijini Dar es Salaam, yamefungwa baada ya mamlaka ya mapato Tanzania, TRA kuwataka wamiliki waoneshe mikataba ya usambazaji wa filamu hizo za...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Sitaki Tena Bongo Movie -Sinta

Mkali wa zamani wa maigizo, Sinta ambae alitamba na skendo kibao kipindi hicho na unaambiwa yeye ndiyo wa kwanza kuwa na skendo kubwa Bongo,  amefunguka  na kueleza kwa sasa ana ishu gani mjini.Sinta...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Haya Ndio Magari 15 ya thamani anayoyamiliki Floyd Mayweather

Floyd Mayweather ni bondia wa kimataifa anayetajwa kuwa mmoja wa mastaa wenye utajiri mkubwa duniani kupitia kazi yake ya ubondia, achilia mbali mataji makubwa aliyonayo, mwaka 2015 katika pambano lake...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIJANA MWANZA MBARONI KWA KUMTUKANA RAIS MAGUFULI NDANI YA GARI

Mgomo wa daladala Jijini Mwanza umesababisha kijana mmoja Jijini humo kutamka lugha chafu ndani ya gari ambayo alipewa lifti limemsababishia kuishia mikononi kwa sheria.Kamanda wa Polisi Mkoa wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwana FA kushoot video yake mpya SA ‘ni watu walio very serious na kazi yao’

Mwana FA anatarajia kwenda tena nchini Afrika Kusini kufanya video ya wimbo wake ujao.Hiyo itakuwa video ya pili yake mwenyewe kuifanyia nje ya nchi baada ya ile iliyopita ya wimbo wake ‘Asanteni kwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti Ya Leo Jumamosi ya July 30,2016

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HONGERA SANAAA PAULINE USIKU WAKO ULIKUA WA KIPEKEEE

   Mc dr cheni kazin

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS MAGUFULI AMFUTA KAZI MKURUGENZI ALIYEMTEUA JUZI, ASEMA HAKURIDHISHWA NA...

Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa John Pombe Magufuli ametengua uteuzi wa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Bagamoyo.BONYEZA HAPA KUSOMA ZAIDI

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti ya Leo Jumapili ya July 31 2016

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS DKT. MAGUFULI AFANYA MKUTANO TINDE, ISAKA NA KAHAMA MKOANI SHINYANGA

Rais wa Jamhuri ya Muungano Dkt. John Pombe Magufuli akihutubia mamia wa wakazi wa Kahama mara baada ya kuwasili akitokea Nzega mkoa Tabora.Rais wa Jamhuri ya Muungano Dkt. John Pombe Magufuli akicheza...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Irene Uwoya asema angeumudu ‘ukuu’ wa wilaya kama angepewa

Msanii wa filamu Irene Uwoya amefunguka kwa kusema kuwa kama angepata nafasi ya ukuu wa wilaya basi angefanya vizuri kwa kuwa ana uwezo mkubwa wa kuongoza.Muigizaji huyo ameimbia Bongo5 kuwa hakuwa na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

"Mc ni vizuri kusikiliza wateja wako kwa umakini sana nini wanataka" Mc Dr Cheni

Mc Dr Cheni akipata maelekezo kutoka kwa mteja wake

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Jmos njema woteeeeee

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIDEO: Maelezo ya DK 4, ndugu aelezea dakika za mwisho kabla ya Kundambanda...

Leo July 22 2016 taarifa za kifo cha msanii wa filamu za Comedy Ismail Issa Makombe ambaye wengi tunamfahamu kwa jina la ‘Kundambanda’ zimeanza kuenea, taarifa rasmi kutoka kwa ndugu wa karibu wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DAR: Askari wa Usalama barabarani (Trafiki) auawa kwa kupigwa risasi

Askari wa Kikosi cha Usalama Barabarani, Sajenti Mensah wa Kituo cha Polisi Oysterbay ameuawa usiku huu kwa kupigwa risasi akiwa kazini eneo la Sayansi Kijitonyama jijini Dar es Salaam.Kamanda wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Man United yapewa kipigo cha kwanza chini Mourinho..Mwenye Atatea Timu yake

Jose Mourinho amesisitiza kwamba hawezi kujaji wachezaji wake wa Manchester United kutokana na kipigo cha mabao 4-1 walichokipata kutoka kwa  Borussia Dortmund na kusema kwamba: “Injini ilikuwepo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI YA JULY23 KWENYE UDAKU, SIASA NA MICHEZO

View Article
Browsing all 2428 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>