Quantcast
Channel: MC DR CHENI
Browsing all 2428 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HONGERENI SANA MR & MRS ALEX HARUSI YENU ILINOGAA SANAA

 HONGERENI SANA MR & MRS ALEX Hongera happy

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti Ya Leo Jumanne ya Agosti 16,2016

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Makonda Kuwajengea BAKWATA Ofisi ya Kisasa

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amekabidhi ramani ya jengo la Ofisi ya Makao Makuu ya Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA), ikiwa ni ahadi ya kuwajengea jengo hilo.Akizungumza wakati...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Eneo la Ikulu Lauzwa Kinyemela

ENEO lililokuwa limetengwa ili ijengwe Ikulu ndogo ya Mkoa wa Mbeya limemegwa na kuuzwa. Limeuzwa kutokana na kile kinachotajwa kuwa ni maofisa wa ardhi Jiji la Mbeya, kutumia fursa ya eneo hilo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wizkid Asema Kidogo ya Diamond Ndio Nyimbo Bora na Anayoikubali Kwa Sasa

Msanii mkali wa africa na dunia kutoka nigeria wizkid akiongea na clouds fm amesema kwa sasa nyimbo ya diamond platnumz aliowashilikisha psquare kidogo ndio nyimbo bora kwake na ndio...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wema Sepetu Aelezea Bidhaa yake Mpya na Alikopata wazo la Biashara hiyo

Nguvu ya mwigizaji staa wa Tanzania Wema Sepetu  kutengeneza zaidi bidhaa zenye jina lake na kuziuza kwa Watanzania inaendelea kuonekana, ni juzijuzi tu alileta lipstick zenye jina la KISS BY WEMA.Wema...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Nimeshakuwa sasa, kiukweli nina kiu ya mume – Johari

Msanii wa filamu, Johari Chagula amefunguka kwa kusema kuwa kwa sasa ana kiu yakumpata mume sahihi ambaye ataingia naye kwenye maisha ya ndoa.Mwigizaji huyo ambaye ni mama wa mtoto mmoja, amesema umri...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Jibu la Mwimbaji Emmanuel Mbasha Kuhusu Kurudiana na Flora Mbasha

Kama utakuwa unakumbuka mnamo September 21,2015 moja ya stori kubwa iliyogusa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania ni ishu ya Hukumu ya Kesi ya Mwimbaji wa Gospel Tanzania, Emmanuel Mbasha ambapo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wakuu wa shule 90 za msingi na sekondari kuvuliwa madaraka Kinondoni

Hivi karibuni Rais Magufuli katika ziara yake mkoani Mwanza aliwaonya walimu wanaotoa taarifa za uongo za wanafunzi ili kujipatia fedha nyingi za elimu bure. Sasa wilaya ya Kinondoni Dar es salaam...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hatua nane zilizochukuliwa na serikali baada ya uhakiki wa mikopo ya wanafunzi

Wizara ya elimu, sayansi na teknolojia iliunda timu ya kuhakiki wanafunzi kwenye taasisi za elimu ya juu nchini ili kujiridhisha na uhalali wa wanafunzi wanaopata mikopo kwa ajili ya elimu ya juu....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Breaking Newzz: Rais Magufuli Atengua Uteuzi Wa Mkuu Wa Mkoa Arusha Felix...

Mkuu wa Mkoa mpya wa Arusha,Mrisho Gambo aliyeteuliwa na Rais,kuapishwa kesho ijumaa Ikulu jijini Dar***BOFYA HAPA LEWIS MBONDE BLOG KUJUA ZAIDI

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Nimejifunza,Nimekoma kwa Wasanii Wenzangu-Steve Nyerere

TENDA wema uende zako ni msemo ambao utumika sana kwa waungwana hili linamshinda mwigizaji na mchekeshaji mahiri Bongo Steven Mengele almaarufu Steve Nyerere baada ya kuonekana kuwa mstari wa mbele...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Mkuu: Ukaguzi wa Wanafunzi HEWA Ufanyike Nchi Nzima

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewaagiza Wakuu wa Wilaya na Maofisa Elimu nchini wafanye ukaguzi katika shule ili kubaini wanafunzi hewa kwenye mpango wa elimu bure.“Kila mwezi Serikali inapeleka shule...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAY C AANDIKA UJUMBEE MTANDAONI

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kidogo ya Diamond yapanda daraja BBC Radio 1Xtra

Diamond Platnumz anachekelea tu sasa hivi kwasababu wimbo wake Kidogo aliowashirikisha mapacha wa P-Square umepanda daraja zaidi kwenye playlist za redio yenye heshima kubwa Uingereza, BBC Radio...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ALICHOKIANDIKA MASANJA MKANDAMIZAJI MTANDAONI BAADA YA KUSIKIA ANASAKWA NA...

 

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali Yapiga Marufuku Biashara Holela ya Mkaa

WIZARA ya Maliasili na Utalii kupitia Huduma za Misitu Tanzania ( TFS) imepiga marufuku usafirishaji wa mazao ya misitu ikiwemo mkaa ambapo mfanyabiashara anayefanya biashara hiyo, atapaswa kuwa na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mabasi ya mikoani kusimamisha huduma Jumatatu

Kuanzia Jumatatu wiki ijayo hakutakuwa na usafiri wa mabasi nchi nzima, baada ya Wamiliki wa mabasi yaendayo mikoani (Taboa) kuamua kusimamisha huduma hiyo ili yafanyiwe ukaguzi na Polisi.Katibu Mkuu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Malkia wa Taarab Bi Shakila afariki Dunia

Shakila Said Hamis… Jina lake lina uzito mkubwa sana kwenye muziki wa Taarab  anafahamika kama miongoni mwa wasanii waliotamba miaka kadhaa na hits single ikiwemo Kifo cha mahaba, Mapenzi yamepungua na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Muonekano wa juu wa jiji la Dar es Salaam

View Article
Browsing all 2428 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>