Quantcast
Channel: MC DR CHENI
Browsing all 2428 articles
Browse latest View live
↧

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti ya Leo Tanzania Jumatatu ya August 28,2017

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti ya Tanzania Leo Jumanne ya August 29,2017

 BOFYA HAPA KUSOMA MENGINE

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TFF Kutengeneza Ngao Mpya ya Simba

Baada ya shirikisho la soka Tanzania TFF kuomba radhi kwa kutoa Ngao ya Hisani kwa Simba iliyokuwa na makosa ya kiuandishi, leo shirikisho hilo limeonesha na kutangaza kuitengenezea Ngao mpya Simba...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Walimu Watiwa mbaroni kwa kufanya mapenzi na wanafunzi

Walimu wawili waliokuwa wakifanya mazoezi kwa vitendo katika shule ya sekondari ya Kikala wilayani Lushoto mkoani Tanga wanashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa kosa la kufanya mapenzi na wanafunzi wawili...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti ya Leo Alhamis ya August31

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazet ya Leo Tanzania Jumamosi ya Septemba 2,2017

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mahujaji walioshindwa kwenda ibada ya Hijja kurudishiwa pesa zao

Mufti Mkuu wa Tanzania Sheikh Abubakary Zubeiry bin Ally amesema pesa za mahujaji wote walioshindwa kwenda katika ibada ya Hijja zitarejeshwa ndani ya kipindi cha miezi sita ijayo.Sheikh Zubeiry...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mahujaji 35 Wafariki Makkah Siku ya Kwanza ya Hijja

Wizara ya Afya ya nchini Misri imeeleza kuwa Mahujjaj 35 wa nchi hiyo wamefariki dunia wakati wa siku ya kwanza ya Hijja iliyomalizika nchini Saudi Arabia kutokana na uchovu na umri mkubwa. Afisa mmoja...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI YA LEO TANZANIA JUMATATU SEPTEMBA 3,2017

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

POLISI WAMPIGA RISASI NJIWA ANAYETUMIKA KUSAFIRISHA DAWA ZA KULEVYA NDANI YA...

 Polisi nchini Argentina wamempiga risasi njiwa ambaye anatumiwa kusafirisha dawa za kulevya kupeleka kwa wafungwa gerezani. Njiwa huyo alionekana akiruka hadi uwanja wa gereza moja lililo mji wa Santa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Yaliyojiri mahakamani kesi ya Manji

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imeruhusu mfanyabiashara Yusuf Manji na wenzake watatu wahojiwe na Polisi katika kesi ya uhujumu uchumi inayowakabili.Uamuzi huo umetolewa leo Jumatatu na Hakimu Mkazi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Sahau kuibiwa au simu yako kuishiwa chaji ukiwa na begi hili la kijanja

Kadri dunia inavyozidi kwenda utagundua kuwa watu wengi wanauhitaji mkubwa wa kubeba mizigo yao kutoka kwenye maeneo ya kazi ikiwemo vitendea kazi kama Laptop, Nguo za kazini kama sare, muda mwingine...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BARUA YA OBAMA KWENDA KWA TRUMP

Barua aliyoandika Rais wa 44 nchini Marekani Barack Obama, kwenda kwa Rais wa sasa wa nchini humo  Donald Trump kabla ya kuhama Ikulu ya nchini humo yapatikana.Barua hiyo imeonyeshwa kwa mara ya kwanza...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIFAHAMU KIKOSI CHA MPIRA GHALI ZAIDI DUNIANI KWA SASA.

Klabu ya Paris Saint-Germain ndiyo timu pekee iliyotumia fedha nyingi kusajili duniani baada ya kutua kwa Kylian Mbappe kutoka Monaco kunafanya kikosi chao cha kwanza XI kuwa cha thamani ya euro...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti Ya Leo Jumanne ya Septemba 5,2017

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAMPENI YA UZALENDO KWANZA YAZINDULIWA JIJINI DAR,KUHAMASISHWA NCHI NZIMA

 Mwenyekiti wa Kampeni ya Uzalendo Kwanza, Steven Mengele almaarufu kwa jina la kisanii Steven Nyerere, akizungumza mbele ya Waandishi wa habari (hawapo pichani) mapema leo jijini Dar kuhusina na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DR CHENI AOA MARA YA PILI LEO LIVE

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Huu Hapa Ushauri wa Ali Kiba Kwa Bongo Movie

Msanii Alikiba ambaye sasa anafanya vyema na wimbo wake mpya 'Seduce me' ameamisha mashambulizi yake upande wa bongo movie na kuwaambia hali mbaya waliyokuwa nayo katika kipindi hiki ni kutokana na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti ya Leo Tanzania Jumatano ya Septemba 6,2017

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BREAKING NEWZZ: Viongozi wanne wa CUF wamefariki kwenye ajali wakitokea Dodoma

Stori iliyonifikia asubuhi hii ya Jumatano September 6, 2017 ni kwamba Viongozi wanne wa Chama cha Wananchi CUF wanaomuunga mkono Profesa Ibrahim Lipumba wamefariki dunia baada ya msafara wao kupata...

View Article
Browsing all 2428 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>